
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi na watendaji wa Wizara nchi,Ofisi ya Rais, Fedha,Uchumi na Mipango ya Maendeleo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi na watendaji wa Wizara nchi,Ofisi ya Rais, Fedha,Uchumi na Mipango ya Maendeleo, katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar asubuhi leo,katika utekelezaji wa kazi Wizara hiyo.Picha na Ramadhan Othman,IKULU-Zanzibar

